$ 0 0 Ati kuna mtu aligombana na mke kwa hao so he said to the lady unakaa ka donkey 2 wanawake wote nyinyi ni donkey's so kesho yake wakatoka kwa gari lao kwenda tao,kufika njiani wakamwona punda mke akasema hanny plz chunga usimgonge mamakoCategory: ArticlesTweet